Yaliyomo kwenye DW Kiswahili Podcast Habari za Ulimwengu mchana wa Mei 26 2025 ni pamoja na:
– Mashambulizi ya Urusi yauwa 13 Ukraine.
– Trump aahirisha utozaji ushuru wa 50% kwa bidhaa za Ulaya hadi Julai
– Zaidi ya wahamiaji 500 waokolewa Ugiriki.
#DWKiswahiliPodcast #dwkiswahili #DWSwahili #HabariLeo #RipotiNaUchambuzi #TaarifaYaHabari
Ukitaka kupata habari zetu kila siku, bonyeza ‘subscribe’ kwenye chaneli yetu ya DW Kiswahili.
