Skip to content Skip to sidebar Skip to footer

Mwanablogu ‘Kibet Bull Yoko’ na nduguye watekwa nyara

Haya yakijiri, mamlaka ya kusimamia utendakazi wa polisi nchini IPOA imeanzisha uchunguzi kuhusiana na ripoti za kutekwa nyara kwa vijana wanne kutoka maeneo ya Uthiru, Ngong na Embu. Mwenyekiti wa IPOA Issack Hassan anasema kuwa maafisa wake tayari wamezungumza na familia kuanzisha uchunguzi. Na kama Gatete Njoroge anavyoarifu, familia nyingine imeripoti kutoweka kwa ndugu wawili eneo la Kikuyu kaunti ya Kiambu

Leave a comment

0.0/5

Subscribe for the updates!